Baada ya kumaliza tofauti zao ndani muda uliotolewa na Mhe. Rais, Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla alikutana na  Prof. Adolf Mkenda, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo jijini Mwanza.

Viongozi hao wamekutana jana tarehe 08/01/2020 kwa ajili ya maandalizi kikao cha tatu cha maandalizi ya maonyesho ya Utalii kwa mikoa ya kanda ya Ziwa, Kigoma na Tabora pamoja na jukwaa la uwekezaji katika sekta ya utalii kwa Kanda Ziwa.

Pamoja na majadiliano ya maandalizi hayo, pia walipata fursa ya kupata kikombe cha Kahawa pamoja ambapo kwa sasa viongozi hao wamedhamilia kufanya kazi za kumsaidia Rais Dkt. John Pombe Magufuli.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...