Ofisa Mwandikishaji Daftari la kudumu la wapiga kura Jimbo Tandahimba Said Msomoka akisoma hotuba ya ufunguzi wa semina ya mafunzo ya uandikishaji .
Mwezeshaji George Kashura akitoa mafunzo kwa Maafisa Waandikishaji wasaidizi Daftari la kudumu la wapiga kura ngazi ya kata
Ofisa Mwandikishaji Daftari la kudumu la wapiga kura Jimbo Tandahimba Said Msomoka akimsikiliza Mwandikishaji Msaidizi ngazi ya kata (hayupo pichani).
Ofisa Mwandikishaji Daftari la kudumu la wapiga kura Jimbo la Tandahimba Said Msomoka, amewataka Maafisa Waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata kuifanya kazi hiyo kwa ufanisi,bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi hilo kwa ufanisi.
Ameyasema hayo leo alipokuwa akifungua mafunzo ya Uandikishaji Daftari la kudumu la wapiga kura kwa Maafisa Waandikishaji wasaidizi ambayo yamefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba.
"Ni matumaini yangu kuwa semina ya mafunzo haya yatasaidia kuwapa elimu ya kutosha itakayomwezesha kila mmoja kutekeleza wajibu wake katika kata yake husika
Naye mwezeshaji wa mafunzo hayo ya Daftari la kudumu la wapiga kura, George Kashura aliwataka washiriki hao kuwa makini katika utekelezaji wa uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga
Ameyasema hayo leo alipokuwa akifungua mafunzo ya Uandikishaji Daftari la kudumu la wapiga kura kwa Maafisa Waandikishaji wasaidizi ambayo yamefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba.
"Ni matumaini yangu kuwa semina ya mafunzo haya yatasaidia kuwapa elimu ya kutosha itakayomwezesha kila mmoja kutekeleza wajibu wake katika kata yake husika
Naye mwezeshaji wa mafunzo hayo ya Daftari la kudumu la wapiga kura, George Kashura aliwataka washiriki hao kuwa makini katika utekelezaji wa uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...