Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo Katika Ofisi ya Ubalozi wa Oman Mikocheni Jijini Dar Es Salaam leo Januari 16,2020 kufuatia kifo cha Mfalme Qaboos bin Said wa Oman.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.  Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kumfariji Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe. Ali Almahroqi alipofika kwenye Ofisi ya Ubalozi wa Oman Mikocheni Jijini Dar Es alaam leo Januari 16,2020 kwa ajili ya kutia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha Mfalme Qaboos bin Said.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe. Ali Almahroqi kwenye Ofisi ya Ubalozi wa Oman Mikocheni Jijini Dar Es Salaam leo Januari 16,2020 baada ya kutia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha Mfalme Qaboos bin Said.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...