Baadhi ya
watuhumiwa waliopo nje kwa dhamana wanaokabiliwa na shitaka la Uhujumu
Uchumi (walio mstari wa nyuma) katika chumba cha Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu cha Mahakama Mtandao, kilichopo katika Kituo cha Habari na
Mafunzo , kwenye mahakama hiyo, Jijini Dar es salaam wakifuatilia
mashitaka yao. Walio mstari wa mbele ni wanasheria.

Baadhi ya
wananchi waliofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es
salaam kutuatilia mashauri ya ndugu zao katika chumba cha Mahakama
Mtandao.

Baadhi ya
Wanasheria(walio mstari mbele) wakiwa katika chumba cha Mahakama Mtandao
maarufu kama Video Conference wakifuatilia mashauri katika chumba cha
Mahakama Mtandao, kilichopo kwenye Kituo cha Habari na Mafunzo, Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na Gereza
la Keko Jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...