Baadhi ya watuhumiwa waliopo nje kwa dhamana wanaokabiliwa na shitaka la Uhujumu Uchumi (walio mstari wa nyuma) katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  cha Mahakama Mtandao, kilichopo katika Kituo cha Habari na Mafunzo , kwenye  mahakama hiyo, Jijini Dar es salaam wakifuatilia mashitaka yao. Walio mstari wa mbele ni wanasheria.
Baadhi ya wananchi waliofika katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam kutuatilia mashauri ya ndugu zao katika chumba cha Mahakama Mtandao.
Baadhi ya Wanasheria(walio mstari mbele) wakiwa katika chumba cha Mahakama Mtandao maarufu kama Video  Conference wakifuatilia mashauri katika chumba cha Mahakama Mtandao, kilichopo kwenye Kituo cha Habari na Mafunzo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na Gereza la Keko Jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...