Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akipokelewa na Balozi wa Oman hapa Nchini Mhe.  Ally Abdallah Almahruqi katika ubalozi wa Oman - Tanzania. Prof. Kabudi amekwenda ubalozini hapo kwa ajili ya kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Sultan wa  Oman, Sultan Qaboos bin Said.

Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Oman uliopo Jijini Dar es Salaam kufutia kifo cha Sultan wa Oman, Sultan Qaboos bin Said. Waliosimama ni Balozi wa Oman hapa Nchini Mhe.  Ally Abdallah Almahruqi akifuatiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Ramadhan Muombwa Mwinyi.

Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Oman uliopo Jijini Dar es Salaam kufutia kifo cha Sultan wa Oman, Sultan Qaboos bin Said. 
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Oman hapa Nchini Mhe.  Ally Abdallah Almahruqi,Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Ramadhan Muombwa Mwinyi na viongozi wa Ubalozi wa Oman hapa Nchini pamoja na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiagana na Balozi wa Oman hapa Nchini Mhe.  Ally Abdallah Almahruqi,mara baada ya kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Sultan wa Oman,Sultan Qaboos bin Said.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...