Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein katikati akiongoza Viongozi na
Wananchi mbalimbali katika Tamasha la Sita la matembezi na mazoezi ya
viungo lililoanzia Ukumbi wa Sheikh Abdulwakil,Michenzani,Uwanja wa
kufurahishia watoto Kariakoo,Matumbaku na kumalizia Uwanja wa Mao Zedong
Wilaya ya Mjini Unguja. Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi
ya Zanzibar.

Vikundi mbalimbali vya mazoezi
vikipita eneo la Michenzani kisonge katika Tamasha la Sita la mazoezi ya
viungo lililoanzia Ukumbi wa Sheikh Abdulwakil,Michenzani,Uwanja wa
kufurahishia watoto Kariakoo,Matumbaku na kumalizia Uwanja wa Mao Zedong
Wilaya ya Mjini Unguja. Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi
ya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein katikati akiongoza Viongozi na
Wananchi mbalimbali katika Tamasha la Sita la matembezi na mazoezi ya
viungo lililoanzia Ukumbi wa Sheikh Abdulwakil,Michenzani,Uwanja wa
kufurahishia watoto Kariakoo,Matumbaku na kumalizia Uwanja wa Mao Zedong
Wilaya ya Mjini Unguja. Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi
ya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akisisitiza jambo alipotoa
hotuba katika Tamasha la Sita la Matembezi na mazoezi ya viungo
lililoanzia Ukumbi wa Sheikh Abdulwakil,Michenzani,Uwanja wa
kufurahishia watoto Kariakoo,Matumbaku na kumalizia Uwanja wa Mao Zedong
Wilaya ya Mjini Unguja. Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi
ya Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...