Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein katikati akiongoza Viongozi na Wananchi mbalimbali katika Tamasha la Sita la matembezi na mazoezi ya viungo lililoanzia Ukumbi wa Sheikh Abdulwakil,Michenzani,Uwanja wa kufurahishia watoto Kariakoo,Matumbaku na kumalizia Uwanja wa Mao Zedong Wilaya ya Mjini Unguja. Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Vikundi mbalimbali vya mazoezi vikipita eneo la Michenzani kisonge katika Tamasha la Sita la mazoezi ya viungo lililoanzia Ukumbi wa Sheikh Abdulwakil,Michenzani,Uwanja wa kufurahishia watoto Kariakoo,Matumbaku na kumalizia Uwanja wa Mao Zedong Wilaya ya Mjini Unguja. Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein katikati akiongoza Viongozi na Wananchi mbalimbali katika Tamasha la Sita la matembezi na mazoezi ya viungo lililoanzia Ukumbi wa Sheikh Abdulwakil,Michenzani,Uwanja wa kufurahishia watoto Kariakoo,Matumbaku na kumalizia Uwanja wa Mao Zedong Wilaya ya Mjini Unguja. Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akisisitiza jambo alipotoa hotuba katika Tamasha la Sita la Matembezi na  mazoezi ya viungo lililoanzia Ukumbi wa Sheikh Abdulwakil,Michenzani,Uwanja wa kufurahishia watoto Kariakoo,Matumbaku na kumalizia Uwanja wa Mao Zedong Wilaya ya Mjini Unguja. Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...