RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, alipowasili katika viwanja vya hafla ya
Ufunguzi wa Daraja la Kibondemzungu, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 56
ya Mapinduzi ya Zanzibar wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika eneo la
daraja hilo.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed
Shein, akiondoa kipazia kuashiria ufunguzi wa Daraja la Kibondemzungu
Fuoni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar.Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na Katibu Mkuu Wizara ya
Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Ndg. Mustafa Aboud Jumbe na (kushoto
kwa Rais) Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Mhe Dkt.
Sira Ubwa,ikiwa ni shamrashamra za kusherehekea Miaka 56 ya Mapoinduzi
ya Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Daraja la
Kibondemzungu Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, ikiwa ni shamrashamra za
Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar , (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi , Naibu Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar Dr. Abdalla Juma Mabodi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Ujenzi
Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Mhe. Dkt. Sira Ubwa, hafla hiyo
imefanyika katika daraja hilo kibondemzungu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akikagua daraja hilo baada ya kulifungua, (kushoto kwa
Rais) Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe.Dkt. Sira Ubwa na
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.Mhe. Zuberi Ali Maulid na
(kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na
Usafirishaji Ndg.Mustafa Aboud Jumbe, ikiwa ni shamrashamra za
kusherehekea Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akiwasalimia Wananchi walifika katika hafla ya uzinduzi wa
Daraja la kibondemzungu Wilaya ya Magharibi ”B” Unguja ikiwa ni
shamrashamra za kusherehekea Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar. (kushoto
kwa Rais) Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji
Zanzibar.Mhe.Dkt. Sira Ubwa na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Mhe.Zuberi Ali Maulid na (kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi
Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar.Ndg. Mustafa Aboud Jumbe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...