Mratibu wa mradi wa Instant
Schools Christine Lucas (Kulia) akimkabidhi zawadi mwanafunzi Zakati
Athumani wa kidato cha tatu, shule ya Sekondari Kinyerezi baada ya
kuwaelekeza kuhusu mfumo huo unavyosaidia wanafunzi kujisomea mahali
popote bila gharama yeyote. Mfumo huo unatolewa na kampuni ya simu za
mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kupitia Vodacom Tanzania Foundation.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...