Mratibu wa mradi wa Instant Schools Christine Lucas (Kulia) akimkabidhi zawadi mwanafunzi Zakati Athumani wa kidato cha tatu, shule ya Sekondari Kinyerezi baada ya kuwaelekeza kuhusu mfumo huo unavyosaidia wanafunzi kujisomea mahali popote bila gharama yeyote. Mfumo huo unatolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kupitia Vodacom Tanzania Foundation.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...