Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha 
Skooine cha Kilimo SUA Prof. Raphael Chibunda akiwa ameshikilia moja ya 
vitabu hivyo baada ya kukabidhiwa, Kulia kwake ni Naibu makamu mkuu wa 
Chuo upande wa Taaluma Prof. Peter Gillar, kuanzia kshoto ni Mkurugenzi 
wa Maktaba ya taifa ya Kilimo Prof. Mugyabuso Lwehabura, Bwana Derek 
Murusuri ambaye ndiye mwandishi wa kitabu na Dkt. Cliford Tandali 
aliyetoa msaada huo wa vitabu 
 
 
 
Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha 
Sokoine cha Kilimo SUA Prof. Raphael Chibunda akifurahi jambo na Dkt. 
Cliford Tandali wakati akisoma kitabu hicho kabla ya kupokea vitabu 
hivyo. 
 
 
 
Viongozi hao wakizungumza kabla ya kuanza rasmi zoezi la kukabidhi na kupokea vitabu. 
 
 
 
Ukurusa wa Mbele wa kitabu hicho unavyoonekana na kusomeka.
 
 
Dkt. Cliford Tandali wa pili 
kushoto akieleza lengo la kutoa msaada huo vitabu kwa SUA , kulia kwake 
ni Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA Prof. Raphael
 Chibunda


 

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...