Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akitoa maelekezo kwa wajumbe wa kikao cha dharura kinachohusu masuala ya Migodi nchini kilichofanyika kwenye ukumbi wa Hazina Mjini Dodoma.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
akiongoza Kikao cha dharura kuhusu Masuala ya Migodi nchini kulia Waziri
wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mhe Mussa Azan
Zungu kushoto Waziri wa Madini Mhe Dotto Biteko. Kikao hicho
kilifanyika kwenye ukumbi wa Hazini Mjini Dodoma
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...