Mkurugenzi
Mkuu wa Benki ya TPB, Sabasaba Moshingi,akisaini Kitabu cha maombolezo
nyumbani kwa marehemu Benjamin Mkapa Rais Mstaafu awamu ya tatu, baada
ya kufika nyumbani kwao Mtaa wa Masaki jijini Dar es Salaam jana,alio
simama kulia ni mwanasheria wa Benki hiyo, Mystica Ngongi na kushoto ni
Kaimu Menej Mwandamizi kitengo cha uhusino na mahusiano wa Benki hiyo
Chichi Banda.
Mkurugenzi
Mkuu wa Benki ya TPB, Sabasaba Moshingi (katikati),akitoa pole kwa mke
wa marehemu Benjamin Mkapa Rais Mstaafu awamu ya tatu Mama Anna Mkapa,
baada ya kufika nyumbani kwao Mtaa wa Masaki jijini Dar es Salaam jana,
wengine wa pili kushoto mwanasheria wa Benki hiyo Mystica Ngongi wa
kwanza kushoto Kaimu Menej Mwandamizi kitengo cha uhusino na mahusiano
wa Benki hiyo Chichi Banda.
Mkurugenzi
Mkuu wa Benki ya TPB, Sabasaba Moshingi (katikati),akitoa pole kwa mke
wa marehemu Benjamin Mkapa Rais Mstaafu awamu ya tatu Mama Anna Mkapa,
baada ya kufika nyumbani kwao Mtaa wa Masaki jijini Dar es Salaam jana,
wengine wa pili kushoto mwanasheria wa Benki hiyo Mystica Ngongi wa
kwanza kushoto Kaimu Menej Mwandamizi kitengo cha uhusino na mahusiano
wa Benki hiyo Chichi Banda.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...