Maafisa kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi ya Elimu ya Juu (HESLB) wakizungumza na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Geita, Isaya Busagwe (katikati) wakati walipofika shuleni hapo kutoa elimu kuhusu mwongozo wa utoaji mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa mwaka 2020/2021 yaliyoendeshwa na HESLB kwa wanafunzi waliohitimu masomo ya kidato cha Sita  na Stashahada Mkoani Geita. Mafunzo hayo yalifanyika jana Jumatatu (Julai 27, 2020). Kushoto ni Meneja wa HESLB Kanda ya Ziwa, Ussama Choka.
Wanafunzi wa Kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Kilangalala iliyopo Mkoani Geita wakinawa maji kwa kutumia vitakasa mikono muda mfupi kabla ya utoaji elimu kwa umma kuhusu mwongozo wa utoaji mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya Juu kwa mwaka 2020/2021 kwa mwaka 2020/2021 yaliyoendeshwa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa wanafunzi waliohitimu masomo ya kidato cha Sita na Stashahada yaliyofanyika katika Shule ya Sekondari Geita Mkoani Geita jana Jumatatu 
Afisa Elimu (Taaluma) Mkoa wa Geita, Kaitila Mafwimbo akizungumza na wanafunzi wa Shule za Sekondari za Kalangalala na Geita pamoja na waliohitimu masomo hayo wakati utoaji elimu kuhusu mwongozo wa utoaji mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa mwaka 2020/2021 yaliyoendeshwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kwa wanafunzi waliohitimu na wanaondelea na masomo ya kidato cha Sita na Stashahada Mkoani Geita. Mafunzo hayo yaliyofanyika katika Shule ya Sekondari Geita Mkoani Geita jana Jumatatu
Meneja Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Kanda ya Ziwa, Ussama Choka akizungumza na wanafunzi wa Shule za Sekondari za Kalangalala na Geita waliosoma kidato cha sita na wale waliohitimu masomo hayo wakati utoaji wa elimu kuhusu mwongozo wa utoaji mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa wanafunzi waliohitimu na wanaondelea na masomo ya kidato cha Sita pamoja na Stashahada. Mafunzo hayo yaliyofanyika katika Shule ya Sekondari Geita Mkoani Geita
Baadhi ya wahitimu wa kidato cha sita kutoka katika Shule mbalimbali Mkoani Geita wakifuatilia kwa makini mafunzo ya elimu kwa umma kuhusu mwongozo wa utoaji mwa wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa mwaka 2020/2021 kwa wanafunzi waliohitimu na wanaondelea na masomo ya kidato cha Sita pamoja na Stashahada yaliyotolewa na Maafisa kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi ya Elimu ya Juu (HESLB). Mafunzo hayo yaliyofanyika katika Shule ya Sekondari Geita Mkoani Geita

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...