Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki akiwa katika Kikao na Wajumbe  Kujadili Maendeleo ya Kazi ya Usafishaji wa Bwawa la Kuzalisha Umeme Kwenye Mradi Nyerere (JNHPP) mapema leo Mtumba Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki (Kushoto)  akishauriana jambo na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Allan Kijazi (kulia) kwenye Kikao cha Kujadili Maendeleo ya Kazi ya Usafishaji wa Bwawa la Kuzalisha Umeme Kwenye Mradi Nyerere (JNHPP) kilichofanyika Mtumba Jijini Dodoma.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki akiongoza Kikao cha Kujadili Maendeleo ya Kazi ya Usafishaji wa Bwawa la Kuzalisha Umeme Nyerere (JNHPP) kilichofanyika kwenye ukumbi wa Wizara ya Maliasili na Utalii Mtumba Jijini Dodoma,


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...