Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla aongoza kura za maoni Jimbo la Nzega Vijijini, akiwa amepata kura 415 kati ya 731 zilizopigwa, akiwa amemuacha mshindani wake wa pili John Doto Kisute aliyepata kura 264. Mshindi wa tatu akiwa na ndugu Gabriel Ishole aliyepata kura 8. Kura zilizoharibika ni 5 na wagombea wengine 16 wakiwa wamepata chini ya kura 3 kila mmoja.
NZEGA VIJIJINI
1/:Dkt. Hamisi A Kigwangalla
Kura : 415
2/:John Dotto kisure
Kura : 264
3/:Gabriel Ishole
kura : 08
4/:Felician Bundalla
Kura :06
5/:Magesa Pastory
Kura: 05
6/:Sadick Shaban kitebo
kura: 05
7/:Michael Satta
kura: 05
8/:Paul Kaparata
kura: 03
9/:Augustino Kishegena
kura: 03
10/:Kunzenza pudencian
kura:
11/: Franck soteri
Kura: 03
Daniel Martin , Richard visagwe, na Fidelis kabula; kura : 02
Na wengine waliobaki kura :0
Jumla ya kura zilikuwa 731
Na zimeharibika kura 05
1/:Dkt. Hamisi A Kigwangalla
Kura : 415
2/:John Dotto kisure
Kura : 264
3/:Gabriel Ishole
kura : 08
4/:Felician Bundalla
Kura :06
5/:Magesa Pastory
Kura: 05
6/:Sadick Shaban kitebo
kura: 05
7/:Michael Satta
kura: 05
8/:Paul Kaparata
kura: 03
9/:Augustino Kishegena
kura: 03
10/:Kunzenza pudencian
kura:
11/: Franck soteri
Kura: 03
Daniel Martin , Richard visagwe, na Fidelis kabula; kura : 02
Na wengine waliobaki kura :0
Jumla ya kura zilikuwa 731
Na zimeharibika kura 05
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...