NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA 

ZOEZI la kura za maoni Jimbo la Kibaha Mjini ambapo msimamizi alikuwa ni mkuu wa wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga. 

Katika zoezi hilo ,Silvestry Koka ameibuka mshindi kwa kupata kura 286,Habib Mchange kura 66 na watatu ni Alawi aliyepata kura 88 ,ambapo wapiga kura ni 523 ,wapiga kura halali 522,kura iliyoharibika ni moja ….

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...