ZOEZI la kura za maoni Jimbo la Kibaha Mjini ambapo msimamizi alikuwa ni mkuu wa wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga.
Katika zoezi hilo ,Silvestry Koka ameibuka mshindi kwa kupata kura 286,Habib Mchange kura 66 na watatu ni Alawi aliyepata kura 88 ,ambapo wapiga kura ni 523 ,wapiga kura halali 522,kura iliyoharibika ni moja ….
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...