Mgombea Ubunge katika Jimbo la Tunguu Zanzibar Rahma

Othman Mussa akijielezea kwa Wajumbe na kuomba kura zao  katika
mchakato wa kura za maoni kuwachagua Wabunge na Wawakilishi katika
Majimbo kupitia Chama cha Mapinduzi ulioanza Leo 20/07/2020 kwa
Tanzania nzima.
Mgombea Ubunge katika Jimbo la Tunguu Zanzibar Twaha Ali Muhajiri akijinadi mbele ya Mkutano wa Jimbo  na kuomba kura katika mchakato wa kura za maoni kuwachagua Wabunge na Wawakilishi katika Majimbo kupitia Chama cha Mapinduzi ulioanza Leo 20/07/2020 kwa Zanzibar wakiwa katika kura ya maoni katika mchakato wa kuwachagua Wabunge na Wawakilishi katika Majimbo kupitia Chama cha Mapinduzi ulioanza Leo 20/07/2020 kwa Tanzania nzima.

Wagombea wa Ubunge na Uwakilishi Jimbo la Tunguu.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akipiga kura ya maoni kumchagua Mbunge na Muakilishi katika Jimbo la Tunguu katika mchakato wa kuwachagua Wabunge na Wawakilishi katika Majimbo kupitia Chama cha Mapinduzi ulioanza Leo Jimbo la Tunguu Zanzibar katika mchakato wa kuwachagua Wabunge na Wawakilishi katika Majimbo kupitia Chama cha Mapinduzi ulioanza Leo 20/07/2020 kwa Tanzania nzima.

Baadhi ya Wajumbe waliohudhuria katika kura ya maoni.
 (PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...