


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan, akiweka Udongo kwenye Kaburi wakati wa mazishi ya Rais Mstaafu
wa Awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa yaliyofanyika , leo
Julai 29,2020 katika Kijiji cha Lupaso Wilayani Masasi Mkoani Mtwara.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...