Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, , leo Julai 29,2020 ameshiriki kwenye mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa yaliyofanyika katika Kijiji cha Lupaso Wilayani Masasi Mkoani Mtwara.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka shada la maua Juu ya Kaburi wakati wa mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa yaliyofanyika , leo Julai 29,2020 katika Kijiji cha Lupaso Wilayani Masasi Mkoani Mtwara.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka Udongo kwenye Kaburi wakati wa mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa yaliyofanyika , leo Julai 29,2020 katika Kijiji cha Lupaso Wilayani Masasi Mkoani Mtwara.        
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu Hayati Mzee Benjamin William Mkapa yaliyofanyika , leo Julai 29,2020 katika Kijiji cha Lupaso Wilayani Masasi Mkoani Mtwara. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...