Maonyesho ya Nane Nane Kitaifa Mwaka 2020 ,yatafanyika Kanda ya Ziwa,Mashariki katika Viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa SIMIYU Kuanzia.Tarehe 1 Mpaka Tarehe 8 August.
Wananchi Wote Mnakaribishwa Kujionea mafanikio ya ubunifu.katika Sekta za Kilimo,Uvuvi na Ufugaji kutoka.kwa wadau.Mbali Mbali.Utajipatia.bidhaa mbalimbali.kwa bei nafuu na kupata elimu ya kukuza ujuzi kwenye kila.nyanja.
Tunawakaribisha kuungana na Viongozi.wetu wa Taifa Tusherekee Mafanikio.ya Sekta ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvi.
Utapata burudani kibao kutoka kwa wasanii wakali nchini.
KARIBUNI WOTE
#NaneNane2020
#Kandaziwamashariki
Wananchi Wote Mnakaribishwa Kujionea mafanikio ya ubunifu.katika Sekta za Kilimo,Uvuvi na Ufugaji kutoka.kwa wadau.Mbali Mbali.Utajipatia.bidhaa mbalimbali.kwa bei nafuu na kupata elimu ya kukuza ujuzi kwenye kila.nyanja.
Tunawakaribisha kuungana na Viongozi.wetu wa Taifa Tusherekee Mafanikio.ya Sekta ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvi.
Utapata burudani kibao kutoka kwa wasanii wakali nchini.
KARIBUNI WOTE
#NaneNane2020
#Kandaziwamashariki
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...