Bei ya fungu la Mihongo ni shilingi 500 katika soko la Tandika Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, kama unavyoonekana pichani.
Picha na Emmanuel Massaka, Michuzi tv
Picha na Emmanuel Massaka, Michuzi tv
Bei ya Viungo mbalimbali katika soko la Tandika wilay ya Temeke jijini Dar es Salaam kama unavyoonekana pichani.
Bei ya Machungwa shilingi 50 katika soko la Tandika wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...