Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akisisitiza jambo katika Kikao cha Taarifa za Utekelezaji kwa Menejimenti ya Fungu 51. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi za Wizara hii Mtumba, Jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (Meza Kuu) akizungumza na Wakuu wa idara na Vitengo wa Wizara ya Mambo  ya Ndani ya Nchi katika Kikao cha Taarifa za Utekelezaji kwa Menejimenti ya Fungu 51. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi za Wizara hii Mtumba, Jijini Dodoma.

Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hii, Ramadhani Kailima (hayupo pichani) alipokuwa  akizungumza katika Kikao cha Taarifa ya Utekelezaji kwa Menejimenti ya Fungu 51. Kikao hicho kimefayika leo, katika Ofisi za Wizara hii Mtumba, Jijini Dodoma.

Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hii, Ramadhani Kailima (hayupo pichani) alipokuwa  akizungumza katika Kikao cha Taarifa ya Utekelezaji kwa Menejimenti ya Fungu 51. Kikao hicho kimefayika katika Ofisi za Wizara hii Mtumba, Jijini Dodoma leo.

Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hii, Ramadhani Kailima (hayupo pichani) alipokuwa  akizungumza katika Kikao cha Taarifa ya Utekelezaji kwa Menejimenti ya Fungu 51. Kikao hicho kimefayika leo, katika Ofisi za Wizara hii Mtumba, Jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...