Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akimsikiliza Mweyekiti wa
Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Mohammed Dweji wakati wa hafla ya
Wabunge mashabiki wa timu Simba iliyofanyika Jijini Dodoma. Wengine
katika picha ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, Mbunge wa
Mchinga, Mhe. Salma Kikwete, Watendaji wa Klabu ya Simba na Viongozi wa
Benki ya Equity.
Mwenyekiti wa Tawi la Simba
Mjengoni, Mhe. Rashid Shangazi akimzungumza na Spika wa Bunge, Mhe. Job
Ndugai, Mweyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Mohammed
Dweji, Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, Mbunge wa Mchinga, Mhe.
Salma Kikwete na Watendaji wa Klabu ya Simba wakati wa hafla ya Wabunge
mashabiki wa timu Simba iliyofanyika Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa tatu kushoto) katika picha ya
pamoja na Mweyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Mohammed
Dweji (wa pili kulia), Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, (wa pili
kushoto), Mwenyekiti wa Tawi la Simba Mjengoni, Mhe. Rashid Shangazi
(wa tatu kulia), Mbunge wa Mchinga, Mhe. Salma Kikwete, (wa kwanza
kushoto) na Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Bi. Babra Gonzalez (wa
kwanza kulia).
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akipokea Jezi ya Klabu ya Simba kutoka kwa Mweyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu hiyo, Mohammed Dweji wakati wa hafla ya Wabunge mashabiki wa timu Simba iliyofanyika Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...