Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)  akisalimiana na Balozi wa UAE Nchini Tanzania Mhe.Khalifa Abdulrahman Almarzouqi wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kwa ajili ya mazungumzo ambapo suala la uwekezaji limepewa kipaumbele katika mazungumzo hayo.[Picha na Ikulu] 30/12/2020.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)  akizungumza na mgeni wake Balozi wa UAE Nchini Tanzania Mhe.Khalifa Abdulrahman Almarzouqi wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar,ambapo suala la uwekezaji limepewa kipaumbele katika mazungumzo hayo .[Picha na Ikulu] 30/12/2020.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)  akizungumza na mgeni wake Balozi wa UAE Nchini Tanzania Mhe.Khalifa Abdulrahman Almarzouqi (wa pili kulia) wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar akiwa na ujumbe wake leo,ambapo Rais alizungumzia zaidi  katika sekta ya uwekezaji ukiwemo utalii.[Picha na Ikulu] 30/12/2020.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)  akizungumza na mgeni wake Balozi wa UAE Nchini Tanzania Mhe.Khalifa Abdulrahman Almarzouqi wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar,ambapo suala la uwekezaji limepewa kipaumbele katika mazungumzo hayo .[Picha na Ikulu] 30/12/2020.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...