Mawaziri wakiwa katika ukumbi wa Jakaya Kikwete wakibadilishana mawazo huku wakimsubiri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya kikao maalum.Rais Dkt.Magufuli ataongoza kikao hicho cha kwanza cha Baraza la Mawaziri leo jijini Dodoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...