Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mmiliki wa Hoteli ya Park Hyatt Bw.
Ali Saeed Juma Albwardy (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu  Zanzibar kwa
mazungumzo akiongozana na Ujumbe wake (kulia kwake) Bw. Yakoub Osman
Sadiq, Meneja Mkuu wa Hoteli ya Park Hyatt Zanzibar.Bw. Nicolas Cedro na
Meneja Mkuu wa Hoteli ya Melia Zanzibar Bw.Nicolas Konig , wakifuatilia
mazungumzo hayo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo
.12/12/2020.(Picha na Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mmiliki wa Hoteli ya Park Hyatt Bw.
Ali Saeed Juma Albwardy (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu kwa mazungumzo
akiongozana na Ujumbe wake (kulia kwake) Bw. Yakoub Osman Sadiq na
Meneja Mkuu wa Hoteli ya Park Hyatt Zanzibar.Bw. Nicolas Cedro,
wakifuatilia mazungumzo hayo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.
Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mmiliki wa Hoteli ya Park Hyatt Bw. Ali
Saeed Juma Albwardy, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo
yaliyofanyika leo. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mmiliki wa Hoteli ya Park
Hyatt kutoka Nchini Dubai  Bw. Ali Saeed Juma Albwardy na (kulia kwake)
Bw. Yakoub Osman Sadiq, alipowasili katika ukumbi wa Ikulu kwa ajili ya
mazungumzo  na ujumbe huo yaliofanyika leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...