Spika wa Bunge, Job Ndugai akisalimiana na Mwenyekiti wa taasisi ya habari development association, Bernard James wakati alipowasili katika siku ya upandaji miti katika soko kuu la Job Ndugai Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Job Ndugai akipanda mti wakati wa siku ya upandaji miti katika soko kuu la Job Ndugai Jijini Dodoma.

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kisasa wakisoma risala yao mbele ya mgeni rasmi Spika wa Bunge, Job Ndugai (hayupo kwenye picha) wakati wa siku ya upandaji miti katika soko kuu la Job Ndugai Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza na viongozi kutoka taasisi ya habari development association, wafanyakazi wa soko kuu la Job Ndugai na wageni waalikwa wakati wa siku ya upandaji miti katika soko kuu la Job Ndugai Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Job Ndugai (wanne kushoto mbele) katika picha ya pamoja na viongozi wa wa taasisi ya habari development association, wawakilishi kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Jiji na viongozi wa soko kuu la Job Ndugai wakati wa siku ya upandaji miti katika soko kuu la Job Ndugai Jijini Dodoma. Kushoto mbele ni  Mwenyekiti wa Taasisi ya Habari Development Association  Ndg. Kunze Mswanyama

Muonekano wa jengo la soko kuu la Job Ndugai ambapo siku ya upandaji miti ulifanyika katika soko hilo Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...