Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga( wa sita kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa Mafunzo ya uongozaji ndege daraja la pili yaliyochukua muda wa wiki Tisa yanayotolewa na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) jijini Dar es Salaam .
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga (katikati ) akizungumza jambo wakati wa hafla ya kuwatunuku vyeti wahitimu wa Mafunzo ya Ndege nyuki ‘Drone’ ya wiki Nne yanayotolewa na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) jijini Dar es Salaam, Jumla ya wahitimu 21 wamehitimu mafunzo kwa awamu ya kwanza . (Kushoto) ni Mkuu wa chuo cha CATC, Aristid Kanje. Wengine kwenye picha (wa pili kulia) ni Mtendaji Mkuu wa Prowings Ian Melamed .
Baadhi ya wahitimu wa Mafunzo ya uendeshaji Ndege nyuki ‘Drone’ ya wiki Nne yanayotolewa na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) jijini Dar es Salaam, Jumla ya wahitimu 21 wamehitimu mafunzo hayo kwa awamu ya kwanza. Wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga wakati wa hafla ya kuhitimu iliyofanyika TCAA jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga (Kulia )akimtunuku Kiongozi wa darasa la marubani wa Ndege nyuki (Drone) Ephraim Danford cheti cha kuhitimu Mafunzo hayo ya wiki Nne yanayotolewa na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) jijini Dar es Salaam, Jumla ya wahitimu 21 wamehitimu mafunzo hayo kwa awamu ya kwanza .(Katikati) ni Mkuu wa chuo cha CATC, Aristid Kanje.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga (Kulia )akimtunuku cheti mwanafunzi wa Kozi ya Uongozaji ndege daraja la pili, Fagal Ahamed Abdallah wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Somalia (SCAA) wakati wa hafla ya kuhitimu Mafunzo hayo ya wiki Tisa yanayotolewa na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) jijini Dar es Salaam, Jumla ya wahitimu Tisa wamehitimu.(Katikati) ni Mkuu wa chuo cha CATC, Aristid Kanje.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga (Kulia )akimtunuku Adinani Mvungi cheti cha kuhitimu Mafunzo ya Ndege nyuki ‘Drone’ ya wiki Nne yanayotolewa na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) jijini Dar es Salaam, Jumla ya wahitimu 21 wamehitimu mafunzo hayo kwa awamu ya kwanza .(Katikati) ni Mkuu wa chuo cha CATC, Aristid Kanje.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga (Kulia )akimtunuku cheti mwanafunzi wa Kozi ya Uongozaji ndege daraja la pili, Abdifatah Osman Abrahim wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Somalia (SCAA) wakati wa hafla ya kuhitimu Mafunzo hayo ya wiki Tisa yanayotolewa na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) jijini Dar es Salaam, Jumla ya wahitimu Tisa wamehitimu mafunzo hayo .(Katikati) ni Mkuu wa chuo cha CATC, Aristid Kanje.
Baadhi ya wahitmu wa mafunzo ya uongozaji Ndege daraja la pili kutoka Mamlaka ya usafiri wa Anga Somalia ( SCAA) wakiwa na vyeti vyao mara baada ya kutunukiwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga hayupo pichani wakati wa hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga ( wa saba kutoka kushoto waliosimama mbele ) akiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa Mafunzo ya uendeshaji Ndege nyuki ‘Drone’ ya wiki Nne yanayotolewa na Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) jijini Dar es Salaam, Jumla ya wahitimu 21 wamehitimu mafunzo hayo kwa awamu ya kwanza
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...