Kama kuna simu unafikiria kununua kwa sasa basi ningekushauri uwe na subira kidogo kwani muendelezo wa series ya HOT 10 yenye kufahamika kama HOT 10 play mbioni kuingia sokoni wakati wowote kuanzia sasa.

Tovuti mbalimbali zimekuwa zikisifu ubora uliopo katika simu hiyo mpya iliyozinduliwa nchi za jirani kama vile Nigeria. Infinix HOT 10play inasemekana moja ya sifa zake ni namna ilivyo na uwezo wa kupiga music bila wa uhitaji wa sub-woofer kukongo nyoyo zako na hii ni kutokana na namna teknlojia ya DTS Audio ilivyo imarishwa zaidi.                                                           

Infinix HOT 10play inasemekana kuwa simu ya kwanza katika series ya HOT 10 ambayo warembo/fashionista wataifurahiya sana ni simu yenye resolution kubwa yenye kuongeza ubora wa pixel za kamera ya HOT 10play na tutegemee kuona maajabu ya MP 8 za kamera ya mbele na MP 13 za Kamera ya nyuma. 

Tembelea https://www.infinixmobility.com/tz/ ili kufahamu zaidi kuhusiana na bidhaa zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...