IMEELEZWA kuwa Betika mambo yamezidi kuwa matamu katika kila siku, na hiyo ni baada ya kudhihirika hadharani baada ya  washindi 24 kujizolea mapesa yao ndani ya Jackpot. Hii 'Haijawahi' kutokea kwingine.

 Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na  Meneja wa Fedha na utawala wa Betika Jackpot Deodata Kalumia imeeleza kuwa washindi hao 24 ambao sasa wanatamba na pesa zao mitaani wameshinda mikwanja yao kupitia  Kitonga deile Jackpot pekee ambayo ni Jackpot rahisi zaidi inayotoa washindi wengi nchini. 

Amesema, Betika inataka washindi zaidi na  kuongeza idadi ya washindi wengine katika Kitonga Deile Jackpot ambayo inawezesha kushinda hadi shilingi  1,000,000 kila siku.

Kalumia amewataka watanzania kuchangamkia fursa hiyo ya kibabe kwa kuingia katika tovuti yao ya www.betika.co.tz ukifika hapo gonga pale kulipoandikwa  Kitonga Deile Jackpot kisha kuchagua mechi  8 tu na kushinda kibabe.

Aidha amesema kuwa nafasi zipo wazi katika  kuungana na washindi  24 na  kuifanya Januari  kuwa nyepesi kwa kushiriki na kuchagua mechi ambazo ni  nane tu, kisha weka ubashiri ukitumia dau la kuanzia sh. 250 tu itakayobadilisha maisha.

Kwa maelezo zaidi kuhusu Kitonga Deile Jackpot  na huduma  nyingine kutoka Betika Kalumia amewataka  kuwasiliana nao kupitia 0659 070 700.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...