Wananchi wakindeleaana kujipatia mahitahi yako katika kituo cha Daladala Mbezi Luis wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam.
Bei ya fungu la viazi katika kituo cha Daladala Mbezi Luis wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam fungu linaanzia shilingi 1000 hadi 2000.
Bei ya fungu la Maenbe kati ya sh.1000/= mpaka 2000/= katika kituo cha Daladala Mbezi Luis wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam kama inavyo onekana katika picha.
Baadhi ya wananchi wa maneo mbalimbali katika jiji la Dar es salaam wakiwa katika kituo Daladala Mbezi Luis wilaya ya Ubungo wakijipatia mahitaji yao mbalimbali ambapo fungu la Nyanya ni shiling 500 mpaka 1000,karoti fungu ni shiling 1,000 mpka 2,000 pilipili fungu shiling 500, hoho fungu fungu 500.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...