Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati alipokuwa na mazungumzo
na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania JWTZ CDF Jenerali  Venance
Salvatory Mabeyo (kushoto) wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kujitambulisha  baada ya  kushinda katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana
uliopita.[Picha na Ikulu]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania
JWTZ CDF Jenerali  Venance  Salvatory Mabeyo (kushoto) wakati
alipokuwa akizungumza nae leo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kujitambulisha  tokea kushinda katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana
uliopita.[Picha na Ikulu] 26/01/2021.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...