Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati alipokuwa na mazungumzo
na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania JWTZ CDF Jenerali Venance
Salvatory Mabeyo (kushoto) wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kujitambulisha baada ya kushinda katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana
uliopita.[Picha na Ikulu]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania
JWTZ CDF Jenerali Venance Salvatory Mabeyo (kushoto) wakati
alipokuwa akizungumza nae leo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kujitambulisha tokea kushinda katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana
uliopita.[Picha na Ikulu] 26/01/2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...