RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria
kuifungua Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame Kibuteni Mkoa wa Kusini
Unguja, ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha Miaka 57 ya Mapinduzi ya
Zanzibar, (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.
Hemed Suleiman Abdulla na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Rashid
Hadidi Rashid na (kulia kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali
Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba
Sheria Utumishi na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman .(Picha na
Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwalimu wa
Somo la Sayansi katika Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame Kibuteni Mkoa
waKusini Unguja na (kuia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Simai Mohammed Said na Katibu Mkuu wa
Wizara hiyo Dkt. Idrisa Muslim Hija, akitembelea Maabara ya Skuli hiyo
baada ya kuifungua leo ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha Miaka 57 ya
Mapinduzi ya Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waziri wa
Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Simai Mohammed Said alipowasili
katika viwanja vya Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame Kibuteni, kwa
ajili ya ufunguzi wa Skuli hiyo ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha
Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar na (kushoto kwa Waziri) Makamu wa Pili
wa Rais wa Zanzibar Mstaaf Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, Katibu wa Baraza
la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Waziri
wa Nchi Afisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi na Utawala Bora
Zanzibar.Mhe. Haroun Ali Suleiman.(Picha na Ikulu)RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi akiondoa kipazia kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Skuli ya
Sekondari ya Hasnuu Makame Kibuteni Mkoa wa Kusini Unguja na (kulia)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.HemedvSuleiman Abdulla na Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Simai Mohammed Said.(Picha na
Ikulu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...