Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Joannes Karungura akizungumza na Wakuu wa Kampuni za  Mawasiliano juu ya kuboresha huduma  vifurushi vya Bando  ikiwa ni agizo la Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari  Dkt. Faustine Ndugulile ya Mamlaka hiyo kukutana na wadau hao  kujadili namna ya kuboresha  vifurushi vya Bando,   leo  Jijini Dar es  Salaam. 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...