Kamishna wa Sekta Ndogo ya Fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Charles Mwamaja akimkabidhi  Mkuu wa Mipango na Uwekezaji wa Vodacom Tanzania PLC,  Hilda Bujiku  tuzo ya mshindi wa kwanza kwa  uandaaji bora wa taarifa za Fedha kwa Mwaka 2019 (Best Presented Financial Statement for the Year 2019 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA). Hafla hiyo ilifanyika  hivi karibuni jijini Dar es Salaam.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...