Mshindi wa tano wa promosheni ya Vodacom Tanzania, Shangwe Shangwena,  William Mpachilla mkazi wa Ipagala mjini Dodoma akifungua mlango wa gari mpya  aliyojishindia kwenye promosheni hiyo.  Anayeshuhudia nyuma kulia ni  Mkuu wa wilaya ya Dodoma,  Mhe. Josephat maganga na Mkuu wa Mauzo Vodacom Kanda ya Kati, Grace Chambua.












Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...