Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa ameshirika katika tamasha la Circus Mama Afrika lililotayalishwa kwa kiwango cha kimataifa lenye mchanganyiko wa sarakasi, nyimbo, ngoma na burudani mbalimbali lenye lengo la kuwapa watazamaji ufahamu wa mila ya desturi za Afrika.

Onyesho hilo linafanyika tangu tarehe 22/12/2020 hadi mwishoni mwa mwezi wa pili wa mwaka 2021 katika uwanja wa jeshi Masaki mwisho Dar es salam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...