Katibu Mkuu Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Kanali. Martin Msumari akitoa tarifa ya michezo kwa Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana.
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana akifungua Mkutano wa siku mbili wa Kamati Tendaji ya Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) katika Ukumbi wa ZSSF Kariakoo Mjini Zanzibar.

Baadhi ya wajumbe wa Mkutano wa Kamati tendaji ya Michezo ya Majeshi Tanzania wakifuatiklia hutuba ya mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana (hayupo pichani.)
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...