Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawe na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba (kushoto), Bungeni jijini Dodoma, Februari 10, 2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, Bungeni jijini Dodoma, Februari 10, 2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Janet Masaburi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 10, 2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko, Bungeni jijini Dodoma, Februari 10, 2021.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...