Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawe na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt.  Mwigulu Nchemba (kushoto), Bungeni jijini Dodoma, Februari  10, 2021. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kawe,  Askofu Josephat Gwajima, Bungeni jijini Dodoma, Februari 10, 2021.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Janet Masaburi kwenye viwanja vya  Bunge jijini Dodoma, Februari 10, 2021.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko, Bungeni jijini Dodoma, Februari 10, 2021.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...