Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (kushoto)akizungumza na ugeni kutoka Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kutoka Jijini Dar es Salaam wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Prof. Emmanuel Mjema (kulia) walipomtembelea leo ofisini kwake Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson katika picha ya pamoja na Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Prof. Emmanuel Mjema (kushoto) alipomtembelea leo ofisini kwake Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (watatu kushoto) katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), walioongozwa na Mkuu wa Chuo, Prof. Emmanuel Mjema (wa pili kushoto) walipomtembelea leo ofisini kwake Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...