RAIS Dkt.John Pombe Magufuli ametoa salamu za pole kwa Rais wa Zanzibar Dkt.Hussein Mwinyi, Familia, Wazanzibari, wanachama wa ACT Wazalendo na Watanzania wote kufuatia kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kilichotokea leo Februari 17,2021 katika Hosptali ya Muhimbili alikokuwa akipewa matibabu.
Home
HABARI
RAIS DKT.MAGUFULI, ACT WAZALENDO WATUMA SALAMU ZA POLE KUFUATIA KIFO CHA MAALIMU SEIF SHARIF HAMAD
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...