RAIS Dkt.John Pombe Magufuli ametoa salamu za pole kwa Rais wa Zanzibar Dkt.Hussein Mwinyi, Familia, Wazanzibari, wanachama wa ACT Wazalendo na Watanzania wote kufuatia kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kilichotokea leo Februari 17,2021 katika Hosptali ya Muhimbili alikokuwa akipewa matibabu.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...