TECNO Mobile ni moja ya kampuni iliyoshiriki vyema katika kuonyesha upendo kwa wateja wake. 

TECNO ilizindua rasmi promosheni ya valentine (TUNAKUTHAMINI MTHAMINI) maalumu kwajili ya kujumuika  na wateja wake katika usiku wa valentine.

Katika usiku wa valentine wateja wa TECNO wakiwa na wapenzi wao walipata chakula cha usiku katika  Hotel ya kifahari Serena beach huku kila mualikwa akionekana kufurahia wakati huo.

TUNAKUTHAMINI MTHAMINI ni promosheni iliyolenga zaidi wateja wa TECNO Spark 5pro walionunua simu hizo na  katika msimu huu wa wapendanao. TECNO Spark 5pro ni simu mpya katika tokeo la TECNO Spark na sifa  yake kubwa ni vile ambavyo inaweza kuchukua picha au kuangalia video kupitia kioo kipana cha nchi 6.6 na battery ya ujazo wa mAh 5000 yenye kukaa na chaji kwa muda mrefu na memory ya ukubwa wa  GB3/64 ya kuhifadhia picha, video na files nyengine nyingi.

TECNO Spark 5pro bado inapatikana katika maduka yote ya simu nchini Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...