Henry Kinabo - Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini. “TUMEDHAMINI #TigoKiliHalfMarathon kwa kipichi cha miaka sita mfululizo sasa hivyo tumeona ni vyema kurudisha kwa jamii kwa kushikiriana na @voewofo kupanda miti 10,000 itayochangia kulinda theruji ya Mlima Kilimanjaro”
#TigoGreenForKili #TigoKiliHalfMarathon2021
Henry Kinabo - Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini. “TUNATAMBUA umuhimu wa Mkoa wa Kilimanjaro katika uchangiaji wa uchumi na ustawi wa nchi yetu kwa ujumla. Tunayo furaha kushikirikiana na taasisi ya @voewofo kupanda miti 10,000 katika wilaya ya Hai na Siku moja kabla ya mbio za #TigoKiliHalfMarathon2021 tutazindua zoezi zima la upandaji miti hii ya #TigoGreenForKili”
Asifiwe James - Mkurugenzi @voewofo “TUNASHUKURU sana @tigo_tanzania kwa kutuamini sisi kutunza miti hii 10,000 ambayo tutahusika kusimamia upandaji na utunzaje wake katika wilaya hii ya Hai.”
Benson Ndosi - Mwenyekiti wa Kitongoji cha Maiputa, Wilaya ya Hai.“TUNASHUKURU sana kwa ujio wa @tigo_tanzania na taasisi ya @voewofo kwa kutufikia na mradi huu wa #TigoGreenForKili kuleta miti 10,000 na zoezi hili lina tija sana kwenye eneo hili la Boroti.Nawaomba wananchi wajitokeze kwa ajili ya kushiriki #TigoGreenForKili ili tuendelee kuutunza Mlima Kilimanjaro”
TIGO GREEN FOR KILI - Miti 10,000 kupandwa katika Wilaya ya Hai, pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kusaidia kurudisha theruji ya Mlima mrefu zaidi barani Afrika #TigoGreenForKili kwa ushirikiano na taasisi ya @voewofo ikiwa kama sehemu ya kurudisha kwa jamii ambayo Tigo imeshirikiana nayo kwa miaka sita mfululizo kupitia udhamini wa mbio za #TigoKiliHalfMarathon
TIGO GREEN FOR KILI - Miti 10,000 kupandwa katika Wilaya ya Hai, pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kusaidia kurudisha theruji ya Mlima mrefu zaidi barani Afrika #TigoGreenForKili kwa ushirikiano na taasisi ya @voewofo ikiwa kama sehemu ya kurudisha kwa jamii ambayo Tigo imeshirikiana nayo kwa miaka sita mfululizo kupitia udhamini wa mbio za #TigoKiliHalfMarathon
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...