Leo tarehe 21 Februari, 2021 Tume ya Madini imeanza ushiriki wake katika maonesho yanayoendelea jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC)katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini. Mkutano huo ulioandaliwa na Wizara ya Madini unahusisha wadau wa madini ikiwa ni pamoja na Taasisi za Serikali, Taasisi za Kifedha, kampuni za uchimbaji wa madini, wachimbaji wadogo wa madini, wafanyabiashara wa madini nk. Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali.
Home
HABARI
TUME YA MADINI YAANZA USHIRIKI WA MAONESHO KWENYE MKUTANO WA KIMATAIFA WA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...