Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Dorothy Gwajima,jana ametembelea ofisi za Taasisi ya Tafiti na Uchunguzi ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR) iliyopo mabibo kukagua ujenzi wa kiwanda Cha kutengeneza dawa za Binadamu kwa kutumia miti dawa pamoja na kuongea na watumishi wa Idara hiyo iliyopo eneo la mabibo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Dorothy Gwajima,jana ametembelea ofisi za Taasisi ya Tafiti na Uchunguzi ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR) iliyopo mabibo kukagua ujenzi wa kiwanda Cha kutengeneza dawa za Binadamu kwa kutumia miti dawa pamoja na kuongea na watumishi wa Idara hiyo iliyopo eneo la mabibo jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...