RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Gavana wa
Mombasa Kenya Mhe. Ali Hassan Joho, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa
mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, akiwa na
Ujumbe wake wa Wafanyabiashara wa Kenya.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Gavana wa
Mombasa Kenya Mhe. Ali Hassan Joho, (kulia kwa Rais) akiwa na Ujumbe
wake wa Wafanyabiashara kutoka Kenya, mazungumzo hayo yamefanyika
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu) RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akimsikiliza Gavana wa Mombasa Kenya Mhe. Ali Hassan Joho,
alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...