RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia Muktasari wa
Taarifa ya Utekelezaji wa maagizo aliyoyatoa kwa Mawaziri na Makatibu
Wakuu wakati alipowaapisha, ikiwasilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Pili wa Rais,Sera Uratibu na Baraza la Wawakilishi Mhe. Dkt.
Khalid Salum Mohammed, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais ) Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa
Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais,Sera,Uratibu na Baraza
la Wawakilishi, wakati wa kuwasilisha ripoti ya utekelezaji wa maagizo
aliyoyatowa kwa Mawaziri na Makatibu Wakuu wakati wa kuwaapisha, mkutano
huo umefanyika katiuka ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu Mkuu
Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais,Sera, Uratibu na Baraza
la Wawakilishi Ndg.Thabit Idarous Faina, akiwasilisha taarifa ya
utekelezaji wa maagizo ya Rais aliyoyatoa kwa Mawaziri na Makatibu Wakuu
wakati wa kuwaapisha, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar. na (kulia kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na
Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati
wa mkutano wake na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa
Rais, Sera Uratibu na Baraza la Wawakilishi, uliofanyika katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-3-2021 na (kushoto kwa Rais) Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na (kulia kwa Rais)
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena
Ahmed Said.(Picha na Ikulu) RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi akimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed
Suleiman Abdulla akizungumza wakati wa mkutano huo wa kuwasilisha
taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Rais wakati wa kuapishwa kwa
Mawaziri na Makatibu Wakuu, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...