Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Mama Samia Suluhu hassan (katikati) akipiga picha ya kumbukumbu na viongozi wa taasisi za fedha ambapo Benki ya DCB iliwakilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wake, Godfrey Ndalahwa pamoja na Mwenyekiti wa Bodi, Maharage Chande mara baada ya kulihutubia bunge kwa mara ya kwanza mjini Dodoma wiki hii.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (mstari wa mbele, katikati) akiwa na baadhi ya wakuu wa taasisi za fedha wakisikiliza hotuba ya Mheshiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan wakati ajikihutubia bunge kwa mara ya kwanza mjini Dodoma wiki hii. Viongozi hao walialikwa na Spika wa Bunge, Mhe.Job Ndugai.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...