Mkurugenzi wa Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation Rosalynn Mworia akisalimiana na Waziri wa Muungano na Mazingira Mh. Selemani Jafo wakati alipomtembelea ofisini kwake ikiwa ni maandalizi kuelekea siku ya kimataifa ya mazingira duniani, Vodacom ilipofanya ziara fupi ya miradi ya mazingira  mkoani Dodoma, Vodacom ni mojawapo ya wadau katika miradi endelevu inayolinda mazingira nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. VODACOM WATAFADHIRI USHIRKI WA ASASI ZA KIRAIA KUSHIRIKI MAONYESHO HUSIKA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...