Diwani wa viti maalum ,Kibaha Mjini ,Lidya Mgaya,akiwa
anachimba msingi kuashiria kuunga mkono ,juhudi za wananchi ,kata ya
Misugusugu kuchimba msingi wa ujenzi wa shule ya msingi ya
Kalabaka.Kukamilika kwa ujenzi wa shule hiyo ya msingi utasaidia
kuondoa kero kwa wanafunzi wa eneo hilo kwenda kufuata elimu umbali
mrefu.(picha na Mwamvua Mwinyi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...