
Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Makao Makuu Bi. Rose Mahendeka akimuelimisha mfanyabiashara wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi.

Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Makao Makuu Bi. Julieth Shehiza akimuelimisha mfanyabiashara wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi.

Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Makao Makuu Bw. James Ntalika akimuelimisha mfanyabiashara wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi.

Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Makao Makuu Bw. Joel Lema akimuelimisha mfanyabiashara wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi.

Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Makao Makuu Bi. Maya Magimba akimuelimisha mfanyabiashara wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea wilayani humo.

Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Makao Makuu Bw. Chama Siriwa akimuelimisha mfanyabiashara wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi.
(PICHA ZOTE NA TRA).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...