RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia na kutowa mkono wa pole kwa Wanafamilia wa marehemu Zainab Makame Pandu, alipofika katika Kijiji cha Bwejuu baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akisalimiana na kuagana na Wananchi wa Kijiji cha Bwejuu baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Jamaa Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)

MBUNGE wa Jimbo la Mhe Jaffar Sanya akiwa na Wananchi wa Bwejuu wakiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Mufti Sheikh Khalid Ali Mfaume.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Jamaa Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...