RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa 
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia na kutowa 
mkono wa pole kwa Wanafamilia wa marehemu Zainab Makame Pandu, alipofika
 katika Kijiji cha Bwejuu baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya 
Ijumaa.(Picha na Ikulu) 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa 
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akisalimiana na kuagana
 na Wananchi wa Kijiji cha Bwejuu baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa
 iliofanyika katika Masjid Jamaa Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja.(Picha 
na Ikulu) 
MBUNGE wa Jimbo la Mhe Jaffar Sanya akiwa na Wananchi wa Bwejuu wakiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Mufti Sheikh Khalid Ali Mfaume.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Jamaa Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)


 

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...